Friday 31 March 2017

MWILI WA MAREHEMU PATRICK PAULO NSHANGE WAPELEKWA KIJIJINI KWAKE KILIMILILE KYAKA KWA MAZISHI

 Ni majonzi na simanzi kubwa kwa familia ya marehemu Patrick Paulo Nshange ambae amefariki dunia tarehe 27-3-2017,KATIKA PICHA NI mwili wa marehemu ukiingia katika kanisa jipya  ambalo halijaisha Kilimilile Kyaka kwa ajili ya kutambua mchango mkubwa wa ufadhili wa ujenzi wa kanisa.
 Mwili wa marehemu ukitolewa Motuary katika hospita ya rufaa Kagera kuelekea kijijini Kilimilile Kyaka.
 Gari iliyobeba mwili kutoka katika moja ya kampuni nchini Uganda inayofanya shughuli za mazishi.
 Msafara kutoka Bukoba mjini kuelekea Kyaka Kilimilile.
 Mjane wa marehemu akilia kwa machungu  baada ya mwili kuwasili kijijini kilimilile kanisani kwa sara maalum.
 Bw Remigius akiwa na viongozi waandamizi wa TRA Kagera wa waliofika kumfariji kwa kufiwa na baba yake mzazi.
 Mjuu wa marehemu Fiti Remigius.
 Ni katika kanisa la Kilimilile ambalo halijaisha, lakini kwa kutambua ufadhili wa marehemu  imebidi  sala maalum ya kumuombea ifanyike hapo.
 Katikati ni Bw Remigius Partrick(Dk Remmy) mtoto wa marehemu Partrick Nshange.
 Katekisti akiendesha sara maalumu kanisani.
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi Bw Medard Kaijage akitoa neno  kanisani.
 Mwili ukitolewa kanisani kuelekea nyumbani kwa marehemu
 Mwili ukitoka kanisani  ,Ni kanisa ambalo halijaanza kutumika, ila sara fupi ya kumuombea marehemu ilifanyika hapo kwa kutambua mchango wake mkubwa katika ufadhili.
 Wajukuu wakifanya tukio la kimila.
 Wajukuu wakifanya yao.
Kulia ni Mrs Remigius Nshange ( Dk Remmy) akiwa  na Bi Shubi wakijadili jambo.

No comments:

Post a Comment