Monday 15 February 2016

WAZIRI UMMY MWALIMU APOKEA VITANDA MAGODORO NA MASHUKA KUTOKA MSD



Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akipokea mashuka magodolo pamoja na vitanda kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD),Laurean Rugambwa Bwanakunu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza na wandishi wa habari juu ya kupokea vitanda magodoro na mashuka kutoka Bohari ya Dawa (MSD) leo jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisaidia kufagia,leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisaidi kuondoa vifaa leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiteta jambo na Katibu Mkuu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto,Dk. Mpoki Ulisubisya leo jijini Dar es Salaam.
Magodoro yakishushwa
Mafundi wakifunga vitanda
Wagonjwa wakiwa katika wodi ya wazazi.

No comments:

Post a Comment