Thursday 25 February 2016

KARIBU ELICE SHOP, DUKA LA VYOMBO LIPO MTAA WA MIGEYO MKABALA NA TAWI LA BENKI WAKULIMA.

 Elice shop ni duka jipya lipo mtaa wa migeyo Bukoba mjini limetazamana na tawi la benki ya wakulima(KFCB),fika dukani hapo utaweza kujipatia vyombo vizuri na original kwa matumizi ya ndani, mahotelini na maofisini, pia wale wanaofanya biashara ya kupika vyakula kwenye maharusi nk wanavyo vyombo maalumu kwa shughuli hizo, karibunu  Elice shop.
 Vyombo vya ubora wa hali ya juu.
KARIBU ELICE SHOP, MTAA WA MIGEYO MKABALA NA TAWI LA BENKI YA WAKULIMA.

No comments:

Post a Comment