Wednesday 9 December 2015

BUKOBA WAITIKIA KWA WINGI KATIKA KUSAFISHA MAZINGIRA.

 Ule msemo wa Uhuru  na kazi umetimia leo kwa vitendo, katika kutekeleza agizo la rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kusherekea sherehe ya Uhu ru kwa kufanya kazi,Kila kona ya Manispaa ya Bukoba wananchi walionekana wakifanya usafi.(katika picha ni afisa wa Jeshi la polisi akifanya usafi eneo la Kituo cha polisi Bukoba).
 Eneo la soko kuu Bukoba
 Bw Mushamu nae akiendelea na usafi.


 Mafisa wa shirika la nyumba Bukoba nao walishiriki katika Uhuru na kazi.
 Mkuu wa wilaya ya Bukoba Jakson Msomi akimsisitiza jambo mganga mkuu wa Mkoa Kagera

No comments:

Post a Comment