Wednesday 26 November 2014

ESCROW KUSOMWA LEO JION


mvutano uliokuwa unaendelea katika kusomwa na kutokusomwa kwa ripoti ya Esrow bunge halijapokea kwa barua yeyote kutoka katika mahaakama kuu ya Tanzania kwa mujibu wa mwenyekiti wa kikao cha asbuhi cha bunge halijapokea zuio lolote  kujadili  kwa hiyo katika kikao cha jionai ripoti haiyo italetwa mbele ya kikao na kusomwa

No comments:

Post a Comment