Wednesday 22 October 2014

MBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI JASON RWEIKIZA AZIDI KUKATA ANGA KWA CHOPA KUCHANGIA MAABARA KATA YA KANYANGEREKO NA KEMONDO .


 Kikundi cha ngoma kata ya Kanyangereko Maruku wakimsubiri kumpokea Mbunge wao.
 Mh Dezi Diwani wa kata ya Kanyangereko.
 Mh Mbunge akiwasili eneo la mkutano.
 Mh Amida Adamu Diwani viti maalum.

 Mh Mbunge katika kata ya Kanyangareko amechangia kiasi cha shilingi milioni tatu kwa ajiri ya Maabara.
 Wananchi walitoa zawadi mbalimbali kwa mh mbunge Jason Rweikiza.
 Wananchi wa kata ya Kemondo.
 Waitu mwakoloaaa
Chopa inaendelea kuchanja anga kata zote 29 za jimbo.

No comments:

Post a Comment