Friday 24 February 2017

Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi buheri wa afya.

Zile  habari  zilizoenea kwenye mtandao  za  kifo  cha  rais  mstaafu Ali Hassan  Mwinyi  si za kweli  ni uzushi, mzee  mwinyi  yuko salama  salimini.

No comments:

Post a Comment