BANANA FC YAIBUKA KIDEDEA KATIKA BONANZA LILILOFANYIKA KAITABA LEO,KAHAWA FC BAADA YA KICHAPO YAWAHUDUMIA WASHINDI SUPU NA CHAKULA KATIKA UFUKWE WA KIROYERA
Ni goli pekee lililofungwa na mchezaji hatari wa banana fc mwinyi kagera sugar katika kipindi cha pili katika uwanja wa kaitaba.bao hili lilisababisha timu ya kahawa fc kupata adhabu ya kuwanunulia supu na chakula cha mchana wachezaji wote wa banana fc na kuwahudumia kwa kuwanawisha mkono na kuwapa mlo. kwa mujibu wa maelezo ya mwenyekiti wa bukoba veterani erenest nyambo amesema wachezaji wote wa banana fc na kahawa fc ni wanachama wa bukoba veterani. wachezaji wa banana fc waliovaa jezi za bluu na nyeupe wakifurahi goli mfungaji wa goli la banana fc mwinyi kagera sugar
ni mojonzi bench la ufundi kahawa fc ilifika mahala wote wakawa makocha supa mkude akifuatilia kwa makini bench la ufundi banana fc kaka mkubwa ni mwepesi sana anapokuwa uwanjani majanga bench la kahawa wadau wakifuatilia mechi wakifuatilia mechi
kaka mkubwa baada ya kazi nzito anapoza koo faustin na jamco mpira umekwisha
mmiliki wa jamcobukoba.blogspot.com akiwa na kamanda karange matete na side bunduki wadada wakiwa sambamba na wanaveterani wazee wa veterani supu kwa sana
supu jamani kaka shabani alipeleka huduma ya supu kwa al amin peleka huduma kama adhabu inavyotaka hapa ni mtu kumuhudumia mtu supu kaka mkubwa akitoa maelekezo si mchezo ni shangwe bukoba veterani anaweza kaka mkubwa ilikuwa ni burudani kijana faustin na amidu nani zaidi picha ya pamoja banana fc moja bila picha ya pamoja kahawa fc teacher konche kingereza aliibuka kidedea dhidi ya kahabuka ni mchezo wa draft kati ya kahabuka na kingereza
rebeca katika pozz willy kiroyera supa mkude, kamanda karange na afisa utamaduni wa manispaa ya bukoba kijana g smart na vedastor wakitafakari,na mwinyi kwa pembeni
farry pupa, moses nyama akifanya vitu vyake moses nyama akitoa burudani kamanda karange akichukua chakula wadada wakichukua chakula wanaveterani wakipata chakula misosi asante kamanda, ni mfano wa kuigwa na huyu aliamua atoke kivyake kama ulaya,kumbe bukoba ugari, mbuzi na kondoo usipime ni kiroyera beach wana bukoba veterani maisha yakiendelea watu baada ya kushiba maongezi kwa sana
No comments:
Post a Comment