Tuesday 1 November 2016

RENATUS RUTTA(VIJISENT) NA MKEWE KATIKA POZZ TOFAUTI,BAADA YA KUFUNGA NDOA, PITIA KIDOGO TUUUU.....

 Baada ya kutoka kanisani Bw na Bi  Renatus Rutta maarufu Vijisent walipita maeneo malumu kwa ajili ya kupiga picha za pozi tofauti.
 Pande za Bukoba hotel.
Endelea kufuatilia nini kilijiri ukumbini.

MPOKI ATEMBELEA WAHANGA WA TETEMEKO BUKOBA, AKUTANA NA MKUU WA MKOA KAGERA.


 Mmoja wa watoto 35 amba wapo kwa sasa katika kituo hicho.
 Bibi saada akiongea kwa masikitiko.
 Bw Mpoki akiwa na watoto yatima katika nyumba yao iliyobomoka .
 Mpoki akiwa na washabiki wake maeneo ya Hamugembe Bukoba.
 Maeneo ya hamugembe yaliyoathirika.
 Mpoki akijionea maisha ya watu baada ya tetemeko.

Ndugu mwananchi kuwa na moyo wa kizalendo saidia wahanga Kagera.