hapa kila mmoja huongea lake wakati kakuta ajali tayari
Friday, 14 June 2013
AJALI MBAYA YATOKEA BARABARA YA ARUSHA MAENEO YA SOKO KUU BUKOBA
hapa kila mmoja huongea lake wakati kakuta ajali tayari
Thursday, 13 June 2013
BREAKING NEWS: MSANII WA HIP HOP TANZANIA LANGA AFARIKI DUNIA.
Thursday, 13 June 2013
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa afariki dunia..
Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) amefariki dunia leo
Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) amefariki dunia leo
Langa
alipelekwa hospitali akiwa hajitambui. Anadaiwa kuwa alikumbwa na
Malaria kali sana, Hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili
jana.
Uchunguzi wa chanzo cha kifo chake bado unaendelea.
Msanii Langa aliwahi kutamba na kikundi cha Wakilisha pamoja na witness na sara ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa bongo flava nchini Tanzania.
Mungu amrehemu, Ameen
Uchunguzi wa chanzo cha kifo chake bado unaendelea.
Msanii Langa aliwahi kutamba na kikundi cha Wakilisha pamoja na witness na sara ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa bongo flava nchini Tanzania.
Mungu amrehemu, Ameen
Thursday, June 13, 2013 HABARI:NELSON MANDELA ALIKIKARIBIA KIFO RIPOTI TOKA KWA MADAKTARI
Thursday, June 13, 2013
Ni siku nne zimepita imetokea hali ya sintofahamu baada ya mpiganiaji Uhuru wa South Africa
Babu Nelson Mandela kukimbizwa hospitalini baada ya hali yake kuwa mbaya na kuwekwa
kwenye chumba cha watu mahututi.....
Ripoti kutoka kwenye hospital aliyolazwa Rais huyo wa zamani wa Taifa hilo inasema
usiku wa kuamkia leo siku ya Alhamisi majira ya saa 8 usiku hali ya Mandela ilibadilika
na Team ya madaktari walikusanyika na ilionekana Mapigo ya Moyo kuacha kufanya kazi
kwa muda na Figo kushindwa kufanya kazi kwa dakika zisizopungua 10....
baada ya kupigania
uhai wake hali ilirudi kuwa ya kawaida na kuendelea kupata matibabu chini ya madaktari
Bingwa...
Pia Raisi wa sasa wa South Africa Bwana Jacob Zuma ameongea na kusema ''Naiamini
team ya madaktari inayomuangalia mzee wetu na nina imani Mungu atamuepusha
na mabaya yote na kurudi kwenye hali yake kama kawaida...,nampenda mzee mandela,
wote tunampenda mandela na dunia nzima inampenda kwahiyo kwa pamoja tuungane kumuombea...!!
NI TEKNOLOGIA INAYOTUMIKA KUKAMATA SENENE,LAKINI YENYE KUITAJI GHARAMA
ni mapipa ambayo senene wanapofuata mwanga na kuwa wengi hudondoka kwenye mapipa hayo
KAGASHEKI CUP 2013 KUANZA 29-6-2013 KATIKA UWANJA WA KAITABA
Wednesday, 12 June 2013
WAANDAAJI WA REDD'S MISS KAGERA 2013 (LWERU ENTERTAINMENT) WATINGA KASIBANTE RADIO 88.5FM BUKOBA LEO
Tuesday, 11 June 2013
ASKOFU MKUU WA AUTHODOX JIMBO KUU TAKATIFU LA MWANZA JERONYMOS MUZEEYI AWAASA WANAFUNZI WA KITUO CHA MUJUNGU ACADEMIC CENTRE KUSOMA KWA BIDII
baadhi ya madarasa ya kituo
askofu pia alitoa zawadi ya madaftari na kalamu kwa wanafunzi wote,na kulia ni mkuu wa kituo johnstone richard mujungu
kituo hiki wapo wanafunzi wa bweni na wanafunzi wa kutwa
baba askofu tunaomba utuzindulie
Subscribe to:
Posts (Atom)

