Sunday, 18 August 2013

MBOWE, JOHN MNYIKA, TUNDU LISSU, WAPOKELEWA NA NYOMI YA WATU BUKOBA...WAWATAKA WATANZANIA KUJADILI RASIMU YA KATIBA NA KUTOA MAONI VYEMA

Helikopta maalum iliyowabeba viongozi wa CHADEMA akiwemo Mbunge wa Jimbo la Hai, Mh. Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh. John Mnyika, Tundu Lissu walipowasili eneo la Uhuru Platform Mkoa wa Kagera kufanya mkutano wa hadhara mjini Bukoba
Helikopta maalum iliyowabeba viongozi wa CHADEMA juu ikiangalia jinsi ya kutua sehemu ya Viunga ya uwanja wa Mayunga, (Uhuru Platform).Helikopta maalum iliyowabeba viongozi wa CHADEMA juu ikiangalia jinsi ya kutua sehemu ya Viunga ya uwanja wa Mayunga, Uhuru Platform. Na hapa wananchi wakiiangalia juu ikitaka kutua.
Helikopta maalum iliyowabeba viongozi wa CHADEMA akiwemo Mbunge wa Jimbo la Hai, Mh. Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh. John Mnyika, Tundu Lissu walipowasili eneo la Uhuru Platform Mkoa wa Kagera kufanya mkutano wa hadhara mjini Bukoba
Helikopta maalum iliyowabeba viongozi wa CHADEMA ikitua chini na hapa wanafunguliwa mlango kutoka nje tayari kufanya mkutano wao ambao ni mwendelezo wa mikutano yao kanda ya ziwa swala zima Kutoa maoni katiba mpyaMajembe ya Chadema na mbele ni Mh.Mbunge wa Jimbo la Hai, Mh. Freeman Mbowe akiwapungia wananchi mkono
Viongozi wa Chadema waliotua punde wakielekea jukwaa kuu
Helikopta maalum iliyowabeba viongozi wa CHADEMA
Mbunge wa Jimbo la Hai, Mh. Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh. John Mnyika, Tundu Lissu walipowasili eneo la Uhuru Platform Mkoa wa Kagera kufanya mkutano wa hadhara mjini Bukobaw (Picha na habari Faustine Ruta, bukobasports.com)
Furaha za wadau wao wakakutana nazo njiani wakisonga jukwaa kuu...
Mbunge wa Jimbo la Hai, Mh. Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh. John Mnyika
Mh. Freeman Mbowe kulia na kushoto ni Mh.Tundu Lissu



Viongozi mbalimbali wa Chadema
Diwani wa Chadema (Rwamishenye) Bukoba
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akijiweka sawa kabla ya kuongea na wananchi.
Mbunge wa Singida Mashariki-Chadema Tundu Lissu
Mbunge wa Jimbo la Hai, Mh. Freeman Mbowe pamoja na Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh. John Mnyika
Umati wa watu uliokusanyika kwenye viwanja vya Uhuru platform


Mwenyekiti wa Chama cha Domekrasia na maendeleo (CHADEMA) Mh.FREEMAN MBOWE amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kujadili Rasimu ya Katiba mpya ili ipatikane Katiba itakayokidhi haja ya Watanzania.
Amesema hayo alipokuwa akiwahutubia wakazi wa Bukoba mkoani Kagera alipokuwa kwenye ziara ya kichama kuhamasisha wanachama wa chama hicho kuunga mkono kuwepo na Serikali tatu ndani ya Jumuiya ya Muungano wa Tanzania.


Mbunge wa Singida Mashariki-Chadema Tundu Lissu Aunguruma Mbele ya Mamia ya Wafuasi wa Chadema Bukoba.
Nyomi ya watu.

BILELE FC MABINGWA WA KAGASHEKI CUP 2013 BAADA YA KUILAZA TIMU YA RWAMISHENYE FC KWA MIKWAJU YA PENATI 5 - 4

 "Mwali" Kombe la Kagasheki Cup 2013 walilotwaa Bilele FC
Timu ya Bilele FC maarufu kama KM 0 imeibuka kidedea baada ya kuilaza timu ya Rwamishenye FC leo walipopambana vikali katika fainali ya kugombea kombe la KAGASHEKI CUP 2013 iliyochezwa kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini
Timu hizo mbili zilitoshana nguvu ya bila kufungana katika dakika tisini za kawaida na hata baada ya dakika zaidi thelathini kuongezwa hakuna aliyefanikiwa kuona lango la mwenziye na hivyo mechi hiyo kuamuliwa kwa mikwaju ya penalti.

Mikwaju hiyo ikipipwa mchezaji wa Bilele alikosa mkwaju wa kwanza kwa kugonga posti huku Rwamishenye wakipata mkwaju wa penati wa pili. Bilele walimaliza mkwaju wao wa nne na watano kwa kushinda baada ya mkwaju wa nne kupigwa na kipa mwenye wa Bilele na mkwaju wa tano ukipimgwa na mshambuliaji wa Bilele FC.
Mshindi wa pili ni Rwamishenye fc na wa tatu ni Kitendaguro(Makhirikhiri) baada ya kuwachabanga mabao 3-1 timu ya Kashai Fc juzi jioni. Wote walipewa zawadi zao kama zilivyokuwa zimepangwa.

Balaa hapa kila shabiki wa timu ya Km 0, Bilele akishangilia kwa furaha..
Wadau na mashabiki wa Timu Bilele fc wakiwa wanasherehekea ubingwa wa timu yao
"Mwali" Kombe la Kagasheki Cup  likiletwa juu ya jukwaa kuwasubiri Bilele Fc.
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki wa pili kutoka (kushoto) anayefata ni Bw. Jamal Malinzi na viongozi mbalimbali
Diwani akishangaa hapa akiwa aamini macho yake mwenye shati ya drafti mbele. ambaye ni diwani wa Bilele na timu iliyoshinda ikitokea kwenye eneo lake na pia amekuwa akiwa karibu na timu hiyo muda wote tangu ligi hii ianze.
Afisa utamaduni akizungumzia Ligi hii iliyopigwa takribani mwezi mmoja.
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akiteta na umati mkubwa wa mashabiki waliokusanyika uwanjani hapa Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akiteta na umati mkubwa wa mashabiki waliokusanyika uwanjani hapa muda mfupi baada ya mpira kuisha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akiteta na umati mkubwa wa mashabiki waliokusanyika uwanjani hapa

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akiteta na umati mkubwa wa mashabiki waliokusanyika uwanjani hapa
kombe
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akiteta na umati mkubwa wa mashabiki waliokusanyika uwanjani hapa

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akiteta na umati mkubwa wa mashabiki waliokusanyika uwanjani hapa

Katibu ndugu Malick Tibabimale(kushoto) akiteta na bosi wake Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akiteta na umati mkubwa wa mashabiki waliokusanyika uwanjani hapa
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) ambae ndie mdhamini mkuu wa ligi hii  akitoa zawadi hapa.
wachezaji wakipewa zawadi zao hapa

Baada ya kipa wa Bilele kudaka mkwaju wa penati wa mwisho, wachezaji wa Bilele wakikimbia kumpongeza kipa wao!