Monday, 14 April 2014

BUKOBA VETERAN KUSHIRIKI BONANZA LA PASAKA JIJINI MWANZA,PIA WAMUHANI MWANACHAMA MWENZAO ALIEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MHANDISI VEDASTO

 Wadada wa Bukoba Veteran

Mwenyekiti wa Bukoba Veteran Ernest Nyambo akisoma majina na kiwango cha pesa zilizochangwa na wanachama kwa ajili ya rambirambi
 Wana Bukoba Veteran wakiwa nyumbani kwa mwanachama mwenzao Mhandisi Vedasto aliefiwa na baba yake mzazi
 Mhandisi Vedasto akiwa na mkewe wakipokea rambirambi kutoka kwa Super Mkude kwa niaba ya Bukoba Veteran
 Mhandisi Vedasto akitoa neno la shukrani kwa wana Bukoba Veterani kwa namna walivoshiriki mazishi ya baba yake mpaka kuja kuleta rambirambi
 Baada ya hapo sasa mambo yalikuwa hivi.....
 Kamua mbaya,kumbuka watu walitokea mazoezi kuja kuhani, pata bia,chakula, majibu unayo mwenyewe...



 mhandisi alisimama akasema jamani nimekamilika , swala la kinywaji ni uwezo wa mtu karibuni

 Ilikuwa hatariiiiiii
 Mwenyekiti na soda, mambo ya kwarezima,ila wengi wao walifunguaaaaa

Kila rakheri katika safari ya kuelekea Mwanza kwenye bonanza la Pasaka

Sunday, 13 April 2014

MAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA YA KUKAGUA ATHALI ZA MAFURIKO DAR NA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MPIJI.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa Iombe, sehemu ya Daraja la Mpiji linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam, lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini, wakati Makamu alipofanya ziara hiyo ya kujionea maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo leo Aprili 13, 2014.
Sehemu ya daraja hilo, linavyoonekana baada ya kuongezeka upana kwa kulika kutoka mita 25 na  sasa kufikia mita 75, ambapo tayari Malori yameanza kumwaga vifusi vya mawe ili kuziba eneo hilo na kuweza kuunganisha njia hiyo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa Ibrahim Iombe, wakati alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mpiji lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick.  
 Malori yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo.
 Malori yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo.
 Nguzo za umeme zikiwa zimeinama baada ya kuzidiwa nguvu na maji hayo yaliyobomoa daraja.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhitimisha ziara yake hiyo, katika eneo la Daraja la Mpiji, linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam, leo Aprili 13, 2014.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na baadhi ya viongozi kuelekea eneo la tukio kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mpiji lililokatika kutokana na Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.
 Nguzo za umeme zikiwa zimeinama baada ya kuzidiwa nguvu na maji hayo yaliyobomoa daraja.
 Malori yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiondoka eneo la tukio Daraja la Mpiji baada ya kumaliza ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja hilo lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.

MAMBO YA MASSAGE KWA KUTUMIA MATITI,HATARI SANAAAA

Baada ya kukosa kazi katika sehemu za mambo ya massage kutokana umbile kubwa alilonalo hatimaye mwanamama huyu aja na mbinu kabambe yenye mafanikio ya kuwa-massage wanaume kwa kutumia maziwa yake yenye ukubwa wa kutosha! Kristy love ambaye anatokea Atlanta Georgia ametumia mwaka mzima kujifunza kazi hiyo ila sasa anavuna mapesa mengi kwa siku baada ya kuwafanyia massage wateja wake kwa maziwa yake makubwa.
"Nilipomaliza shule ya massage hakuna aliyetaka kuniajiri..nilikuwa naulizwa kama naweza kusimama siku nzima wakifikiria uzito wangu utakuwa kikwazo,hamna mtu aliyeenita'' alisema Kristy "Nikaamua kuanza kufanyia watu nyumbani na mteja mmoja aliwahi kuniambia nipandishe blauzi nikamwambia sifani mambo hayo,nilikuwa naona aibu kwa sababu ya mwili wangu mkubwa! lakini nikagundua huenda kuna kitu kwenye maziwa ukiamua kuyatumia kwa massage..nikaweka tangazo kwenye gazeti simu zikawa zinamiminika'' alisema "Mwanzo ilikuwa ngumu sana kutokana na umbile langu nikawa nazima taa wakati nikimfanyia mteja massagelakini siku zilivyoenda nikawa najiamini zaidi" Kristy yupo singo na haoni aibu kwa mwili alionao japo madaktari wanamshauri kuwa unaweza kumletea matatizo kama ya moyo siku za usoni