Bw Haruna mmoja wa wanakamati wa maandalizi
Picha kutoka maktaba
Picha kutoka maktaba
Ni moja ya Warembo waliowahi kushiriki Redd's Miss Kagera miaka ya nyuma
Kamati
Tuesday, 15 April 2014
Monday, 14 April 2014
BUKOBA VETERAN KUSHIRIKI BONANZA LA PASAKA JIJINI MWANZA,PIA WAMUHANI MWANACHAMA MWENZAO ALIEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MHANDISI VEDASTO
Mwenyekiti wa Bukoba Veteran Ernest Nyambo akisoma majina na kiwango cha pesa zilizochangwa na wanachama kwa ajili ya rambirambi
Wana Bukoba Veteran wakiwa nyumbani kwa mwanachama mwenzao Mhandisi Vedasto aliefiwa na baba yake mzazi
Mhandisi Vedasto akiwa na mkewe wakipokea rambirambi kutoka kwa Super Mkude kwa niaba ya Bukoba Veteran
Mhandisi Vedasto akitoa neno la shukrani kwa wana Bukoba Veterani kwa namna walivoshiriki mazishi ya baba yake mpaka kuja kuleta rambirambi
Baada ya hapo sasa mambo yalikuwa hivi.....
Kamua mbaya,kumbuka watu walitokea mazoezi kuja kuhani, pata bia,chakula, majibu unayo mwenyewe...
mhandisi alisimama akasema jamani nimekamilika , swala la kinywaji ni uwezo wa mtu karibuni
Ilikuwa hatariiiiiii
Mwenyekiti na soda, mambo ya kwarezima,ila wengi wao walifunguaaaaa
Kila rakheri katika safari ya kuelekea Mwanza kwenye bonanza la Pasaka
Sunday, 13 April 2014
MAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA YA KUKAGUA ATHALI ZA MAFURIKO DAR NA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MPIJI.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa Iombe, sehemu ya
Daraja la Mpiji linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam, lililokatika
kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini, wakati Makamu alipofanya
ziara hiyo ya kujionea maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo leo Aprili 13, 2014.
Sehemu ya daraja hilo, linavyoonekana baada ya kuongezeka upana kwa kulika
kutoka mita 25 na sasa kufikia mita 75,
ambapo tayari Malori yameanza kumwaga vifusi vya mawe ili kuziba eneo hilo na
kuweza kuunganisha njia hiyo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa
maelekezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa Ibrahim Iombe, wakati
alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mpiji lililokatika
kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.Katikati ni Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam, Mecky Sadick.
Malori
yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo.
Malori
yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo.
Nguzo
za umeme zikiwa zimeinama baada ya kuzidiwa nguvu na maji hayo yaliyobomoa
daraja.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhitimisha ziara yake hiyo, katika
eneo la Daraja la Mpiji, linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam, leo Aprili
13, 2014.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiongozana na baadhi ya viongozi kuelekea eneo la tukio kukagua maendeleo ya
ujenzi wa Daraja la Mpiji lililokatika kutokana na Mvua kubwa zinazoendelea
kunyesha nchini.
Nguzo
za umeme zikiwa zimeinama baada ya kuzidiwa nguvu na maji hayo yaliyobomoa
daraja.
Malori
yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiondoka eneo la tukio Daraja la Mpiji baada ya kumaliza ziara yake ya kukagua
maendeleo ya ujenzi wa Daraja hilo lililokatika kutokana na mvua kubwa
zinazoendelea kunyesha nchini.
MAMBO YA MASSAGE KWA KUTUMIA MATITI,HATARI SANAAAA
Baada ya kukosa kazi katika sehemu za mambo ya massage kutokana umbile
kubwa alilonalo hatimaye mwanamama huyu aja na mbinu kabambe yenye
mafanikio ya kuwa-massage wanaume kwa kutumia maziwa yake yenye ukubwa
wa kutosha!
Kristy love ambaye anatokea Atlanta Georgia ametumia mwaka mzima
kujifunza kazi hiyo ila sasa anavuna mapesa mengi kwa siku baada ya
kuwafanyia massage wateja wake kwa maziwa yake makubwa.
"Nilipomaliza shule ya massage hakuna aliyetaka kuniajiri..nilikuwa naulizwa kama naweza kusimama siku nzima wakifikiria uzito wangu utakuwa kikwazo,hamna mtu aliyeenita'' alisema Kristy "Nikaamua kuanza kufanyia watu nyumbani na mteja mmoja aliwahi kuniambia nipandishe blauzi nikamwambia sifani mambo hayo,nilikuwa naona aibu kwa sababu ya mwili wangu mkubwa! lakini nikagundua huenda kuna kitu kwenye maziwa ukiamua kuyatumia kwa massage..nikaweka tangazo kwenye gazeti simu zikawa zinamiminika'' alisema "Mwanzo ilikuwa ngumu sana kutokana na umbile langu nikawa nazima taa wakati nikimfanyia mteja massagelakini siku zilivyoenda nikawa najiamini zaidi" Kristy yupo singo na haoni aibu kwa mwili alionao japo madaktari wanamshauri kuwa unaweza kumletea matatizo kama ya moyo siku za usoni
"Nilipomaliza shule ya massage hakuna aliyetaka kuniajiri..nilikuwa naulizwa kama naweza kusimama siku nzima wakifikiria uzito wangu utakuwa kikwazo,hamna mtu aliyeenita'' alisema Kristy "Nikaamua kuanza kufanyia watu nyumbani na mteja mmoja aliwahi kuniambia nipandishe blauzi nikamwambia sifani mambo hayo,nilikuwa naona aibu kwa sababu ya mwili wangu mkubwa! lakini nikagundua huenda kuna kitu kwenye maziwa ukiamua kuyatumia kwa massage..nikaweka tangazo kwenye gazeti simu zikawa zinamiminika'' alisema "Mwanzo ilikuwa ngumu sana kutokana na umbile langu nikawa nazima taa wakati nikimfanyia mteja massagelakini siku zilivyoenda nikawa najiamini zaidi" Kristy yupo singo na haoni aibu kwa mwili alionao japo madaktari wanamshauri kuwa unaweza kumletea matatizo kama ya moyo siku za usoni
Subscribe to:
Posts (Atom)



























