JAMCO BLOG BUKOBA

Wednesday, 14 August 2013

KATIBU MWENEZI TAIFA NAPE MNAWIE AMETANGAZA MADIWANI 8 WA BUKOBA MANISPAA NI HALALI WAENDELEE NA SHUGHULI ZA UDIWANI WAO,ATENGUA MAAMUZI YA HALIMASHAURI KUU YA MKOA YA KUWAFUKUZA NA KUWAFUTIA NYADHIFA ZA UDIWANI

                                                 Diwani alexesandar ngalina kata buhembe na naibu meya
            diwani richard gaspar kata miembeni na mjumbe mkutano mkuu wa taifa ccm
                                                   diwani  dauda kalumuna kata ijuganyondo
                                             diwani samweli ruangisa  kata kitendaguro
                                                 diwani  deusdert mtakywa kata nyanga
                              diwani  yusuf ngaiza kata kashai na mwenyekiti ccm bukoba mjini
                                                     diwani robert katunzi kata hamugembe
    diwani murungi kichwabuta viti maalum na mjumbe baraza kuu taifa wanawake
                                                              ongereni sana jamani
                         ni furaha kwa wanachi wa manispaa ya bukoba baada ya nape kutangaza
                                                                 murungi akitabasamu
                                                                         ni furaha
 mjumbe wa alimashauri kuu taifa Abdul kagasheki akiwa na wananchi mbalimbali  wakifurahia kauli ya Nape
                                  ni shangwe wanachi wakishangilia kauli ya nape
                                                 ilikuwa ni pilika kila kona
 diwani viti maalumu  ccm murungi kichwabuta muda mfupi baada ya katibu mwenezi taifa kutengua maamuzi ya kufukuzwa kwa madiwani 8 wa ccm akiwa na diawani felician bigambo wa cuf
 diwani wa kata ya bakoba-cuf  feliciani bigambo  akipongeza utenguzi  wa maamuzi ya kuwafukuza madiwani wa ccm,amesema chama cha mapinduzi wananchi wangewashangaa kuona watetea haki za wananchi ndio wanaonekana  maadui na kukumbatia mafisadi,amesema kama madiwani wanafanya kazi kwa sheria na kanunu za vikao,hivyo watahakikisha haki za wananchi zinapatikana
mwenezi wa ccm bukoba mjini ramadhani kambuka akieleza kurizishwa na kauli ya nape kupitia vyombo vya habari
diwani wa kata ya bakoba felician bigambo cuf akiwaeleza wananchi  kuwa Nape amefanya jambo la msingikutengua maamuzi ya watu wachache wanaokumbatia mafisadi na kuwakatisha madiwani tamaa wanaodai haki ya wananchi wa bukoba mjini, amesema madiwani wanafanya kazi kwa taratibu na sheria na kanuni, hivyo watahakikisha haki inapatikana kwa kushirikiana na madiwani wa ccm wanaojari kero  na haki za wananchi waliowachagua nasi kikundi cha watu wachache wanaokumbatia mafisadi
Diwani wa kata ya kashai ambaye pia ni mwenyekiti wa wilaya bukoba mjini akipongezwa na wananchi muda mfupi baada ya maamuzi ya alimashauri kuu ya ya mkoa kutenguliwa
Posted by jamco blog at 05:28 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Tuesday, 13 August 2013

CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Bw Avelin Mushi amemaliza Press Conf hivi punde na kufafanua kuwa kikao cha Halmasahuri Kuu ya mkoa wa Kagera imemaliza kikao chake hivi punde na kuamua madiwani 8 wa Manispaa ya Bukoba kufukuzwa katika chama na kufutiwa nyadhifa za udiwani kutoka na mgogoro uliokuwa ukiendelea.

Waliofukuzwa ni:

1. Richard Gaspar (Miembeni )

2. Murungi Kichwabuta (viti maalum)

3. Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe)

4. Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya (Kashai)

5. Deusdedit Mutakyahwa (Nyanga)

6. Robert Katunzi (Hamugembe)

7. Samwel Ruhangisa (Kitendaguro) na

8. Dauda Kalumuna (Ijuganyondo).

Katibu huyo ameongeza kuwa madiwani hao wanaweza kukata rufaa kwa ngazi za juu za chama wakiona hawakutendea haki na kuwa ngazi ya mkoa ina mamlaka ya kufanya hivyo kwa madiwani wa ngazi hizo.

Aidha amesema kwa Bw Yusuph ngaiza ambaye ni mwenyekiti wa CCM bukoba,nafasi yake hiyo inasubiriwa ngazi za juu ambazo ndizo zenye mamlaka juu yake(kwa cheo hicho)

Manispaa ya Bukoba ina kata 14 na kati ya hizo kata 4 zinaongozwa na CDM(2) na CUF(2) hivyo kwa Bukoba mjini CCM imebakiza madiwani 3 TU wa kuchaguliwa .kama ifuatavyo
1.Kashai-Amefukuzwa
2. Miembeni-Amefukuzwa
3.Miembe-Amefukuzwa
4.Nyanga-Amefukuzwa
5.Hamugembe-Amefukuzwa
6.Kitendaguro-Amefukuzwa
7.Ijuganyondo-Amefukuzwa
8.(1)Kagondo-Amebaki (CCM) (Meya Amani)
9.(2)Nshambya-Amebaki(CCM)
10.(3)Kahororo-Amebaki(CCM)
11.Bilele-Amebaki(CUF)
12.Kibeta-Amebaki(CHADEMA)
13.Bakoba-Amebaki(CUF)
14.Rwamishenye-Amebaki(CHADEMA)













                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                         
                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                 

Posted by jamco blog at 21:42 1 comment:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

KAGASHEKI CUP 2013: NUSU FAINALI .....LIVE MATCH: BIELE FC 1 vs KITENDAGURO 0, SECOND HALF....

Timu zikisalimiana muda mfupi kabla ya mtanange kuanza
Timu zikisalimiana muda mfupi kabla ya mtanange kuanza hapa kwenye Uwanja wa Kaitaba
Picha ya pamoja Waamuzi wa mtanange huu na timu kapteini
Waamuzi wa mtanange huu kwenye picha ya Pamoja
Kikosi Cha Pamoja cha Timu ya Bilele

Kikosi Cha Pamoja cha Timu ya Kitendaguro pamoja na viongozi wao (kushoto)
Mchezaji wa timu ya Kitendaguro akitaka kumtoka mchezaji wa Bilele hapa...
Frii kiki kuelekea kwenye lango la timu ya Bilele
Majanga hapa mchezaji wa Bilele kaumia..na hapa anapata msaada wa haraka
Hatari kwenye lango la timu ya Kitendaguro
Mchezaji wa Bilele akisonga kwenda mbele ya lango la timu Kitendaguro
Shabiki wa timu ya Bilele akiwaamasisha mashabiki wenzake kuwapa sapoti wenzao uwanjani hapa.
Patashika hapa..mpira ukiwaacha wote ....




Diwani wa kitendaguro  mh samwel ruangisa na mama wakiwa wanaangalia mtanange wa timu yao ya Kitendaguro jioni hii
Posted by jamco blog at 07:47 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Sunday, 11 August 2013

KAGASHEKI CUP -KASHAI ATINGA NUSU FAINALI AMPA KICHAPO KAGONDO ,KASHAI 3 KAGONDO 1,KUKUTANANA NA RWAMISHENYE

 Timu yenye washabiki wengi kuliko  kata zote manispaa ya bukoba  leo imeibuka kidedea baada ya kumfunga kagondo kwa goli tatu kwa moja katika hatua ya robo fainali katika mashindano ya kagasheki cup yanayoelekea  ukingoni, huku vigogo wawili bakoba na miembeni wakiwa wametolewa hatua ya robo fainali,na kuweka historia mpya katika mashindano haya.
                                                        mashabiki wa kashai wakishangilia

                                                 Edo leo ameonyesha uwezo mkubwa sana
 mchezaji hatari sana , ambae amecheza namba saba Edo maarufu kama  niyonzima ambae alifunga goli la pili na kutoa pasi za uhakika kwa magori yote mawili
 kashai(abanyaruganda )watakutana na Rwamishenye katika mchezo wa nusu fainali ya pili itakayochezwa 14-8-2013 na nusu fainalio ya kwanza itachezwa 13-8-2013 kati ya bilele na kitendaguro(makirikiri)
                                              endelea kufuatilia kagasheki cup hatua ya nusu fainali
Posted by jamco blog at 08:49 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

About Me

jamco blog
View my complete profile

BLOG MBALIMBALI

  • MICHUZI BLOG
    RAIS WA BURUNDI AMFARIJI RAIS SAMIA KIZIMKAZI ZANZIBAR - Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye, akimfariji Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, nyumbani kwake...
    5 days ago
  • Bongo5
    Tucta yawataka wanahabari kujiunga na vyama vya wafanyakazi kulinda maslahi yao - RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amewataka wanahabari nchini kujiunga na vyama vya wafanyakazi ili kuimaris...
    3 months ago
  • JESTINA GEORGE
    Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera - Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani Kagera k...
    6 years ago
  • FULL SHANGWE
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    10 years ago
  • JANE JOHN
    DISCUSSION ON EU-TANZANIA TRANSFER AGREEMENT WHICH ALLOWS TO TRIAL PIRATES CAPTURED BY EUROPEAN NAVAL FORCES IN TANZANIA COURTS - [image: 1] *From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Cha...
    12 years ago
  • This is Diamond
    -
  • Shaffih Dauda in Sports.
    -
  • WWW.BUKOBASPORTS.COM
    -

Popular Posts

  • ALMACHIUS KIRAJA NA NEEMA MACHUME WAFUNGA PINGU ZA MAISHA.
  • NMB FAMILY DAY KAGERA,WAFANYAKAZI WAVINJALI NA FAMILIA ZAO UFUKWE WA KABUARA MARUKU.
  • SAFARI YA MWISHO YA MA KALOLINA LAULIAN MWILILIZA,AACHA WAJUKUU 51 NA VITUKUU 44
  • RAIS KIKWETE NA MARAIS WASTAAFU MZEE MWINYI NA MZEE MKAPA WAALIKWA FUTARI KWA KATIBU MKUU KIONGOZI
  • BARAKA KIZUGUTO ATUA TFF
  • WAISLAMU MANISPAA YA BUKOBA WASHEREKEA EID LIFTIR,SHEKHE KICHWABUTA AWAASA WAISLAM KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA KISLAMU,AKEMEE WATU WANAOLETA FITINA,MAJUNGU NA UCHONGANISHI MIONGONI MWA WAISLAMU
  • KAMANDA WA VIJANA KATA YA BILELE ATOA BANDO TANO ZA MABATI KATIKA UJENZI WA MAHABARA SHULE YA SEKONDARI BILELE BUKOBA MANISPAA.
  • NMB BUSINESS CLUB WAPATA MAFUNZO NAMNA YA KUFANYA BIASHARA NA KUONGEZA MITAJI BUKOBA.
  • CAMERA YETU LEO LEO PRE SCHOOL (CHEKECHEA)
  • CCM KUZIPITIA MWEZI UJAO ADHABU ILIZOWAPA WAWANIA URAIS, YARIDHISHWA NA MAZUNGUMZO YA VYAMA CHINI YA MSAJILI WA VYAMA

WANAOTEMBELEA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Blog Archive

Search This Blog

faustine

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Contact

Tag

  • ha (1)
  • lix (1)
  • PA (1)

BLOGROLL

Flag Counter

Sponsors

Blogroll

Blog Archive

  • ▼  2019 (9)
    • ▼  07/14 - 07/21 (1)
      • NMB FAMILY DAY KAGERA,WAFANYAKAZI WAVINJALI NA FAM...
    • ►  07/07 - 07/14 (2)
    • ►  06/23 - 06/30 (2)
    • ►  06/09 - 06/16 (2)
    • ►  05/26 - 06/02 (2)
  • ►  2018 (28)
    • ►  10/07 - 10/14 (2)
    • ►  08/05 - 08/12 (1)
    • ►  07/08 - 07/15 (1)
    • ►  07/01 - 07/08 (1)
    • ►  06/24 - 07/01 (3)
    • ►  06/17 - 06/24 (1)
    • ►  06/03 - 06/10 (2)
    • ►  05/13 - 05/20 (1)
    • ►  03/11 - 03/18 (1)
    • ►  02/25 - 03/04 (8)
    • ►  01/28 - 02/04 (4)
    • ►  01/14 - 01/21 (2)
    • ►  01/07 - 01/14 (1)
  • ►  2017 (90)
    • ►  12/31 - 01/07 (6)
    • ►  12/24 - 12/31 (1)
    • ►  12/17 - 12/24 (9)
    • ►  12/10 - 12/17 (10)
    • ►  12/03 - 12/10 (1)
    • ►  11/05 - 11/12 (3)
    • ►  10/29 - 11/05 (1)
    • ►  10/22 - 10/29 (1)
    • ►  10/08 - 10/15 (6)
    • ►  09/24 - 10/01 (3)
    • ►  09/17 - 09/24 (1)
    • ►  08/20 - 08/27 (3)
    • ►  08/06 - 08/13 (1)
    • ►  07/30 - 08/06 (1)
    • ►  07/23 - 07/30 (3)
    • ►  07/09 - 07/16 (9)
    • ►  06/04 - 06/11 (2)
    • ►  05/14 - 05/21 (2)
    • ►  04/09 - 04/16 (3)
    • ►  03/26 - 04/02 (5)
    • ►  03/19 - 03/26 (1)
    • ►  03/12 - 03/19 (2)
    • ►  02/19 - 02/26 (1)
    • ►  02/12 - 02/19 (2)
    • ►  02/05 - 02/12 (1)
    • ►  01/22 - 01/29 (2)
    • ►  01/15 - 01/22 (5)
    • ►  01/08 - 01/15 (3)
    • ►  01/01 - 01/08 (2)
  • ►  2016 (128)
    • ►  12/11 - 12/18 (2)
    • ►  12/04 - 12/11 (3)
    • ►  11/27 - 12/04 (1)
    • ►  11/20 - 11/27 (1)
    • ►  11/06 - 11/13 (1)
    • ►  10/30 - 11/06 (3)
    • ►  10/23 - 10/30 (2)
    • ►  10/16 - 10/23 (2)
    • ►  10/09 - 10/16 (3)
    • ►  10/02 - 10/09 (4)
    • ►  09/25 - 10/02 (3)
    • ►  09/18 - 09/25 (3)
    • ►  09/11 - 09/18 (2)
    • ►  09/04 - 09/11 (3)
    • ►  08/28 - 09/04 (2)
    • ►  08/14 - 08/21 (2)
    • ►  07/31 - 08/07 (3)
    • ►  07/24 - 07/31 (2)
    • ►  07/17 - 07/24 (2)
    • ►  07/10 - 07/17 (2)
    • ►  07/03 - 07/10 (6)
    • ►  06/26 - 07/03 (5)
    • ►  06/19 - 06/26 (7)
    • ►  06/05 - 06/12 (2)
    • ►  05/29 - 06/05 (8)
    • ►  05/22 - 05/29 (2)
    • ►  05/15 - 05/22 (2)
    • ►  05/08 - 05/15 (4)
    • ►  04/24 - 05/01 (6)
    • ►  04/17 - 04/24 (1)
    • ►  04/10 - 04/17 (1)
    • ►  04/03 - 04/10 (1)
    • ►  03/27 - 04/03 (1)
    • ►  03/20 - 03/27 (2)
    • ►  03/13 - 03/20 (11)
    • ►  03/06 - 03/13 (1)
    • ►  02/21 - 02/28 (2)
    • ►  02/14 - 02/21 (6)
    • ►  02/07 - 02/14 (2)
    • ►  01/31 - 02/07 (4)
    • ►  01/24 - 01/31 (2)
    • ►  01/17 - 01/24 (1)
    • ►  01/10 - 01/17 (4)
    • ►  01/03 - 01/10 (1)
  • ►  2015 (226)
    • ►  12/27 - 01/03 (1)
    • ►  12/20 - 12/27 (2)
    • ►  12/13 - 12/20 (2)
    • ►  12/06 - 12/13 (4)
    • ►  11/29 - 12/06 (1)
    • ►  11/22 - 11/29 (3)
    • ►  11/15 - 11/22 (3)
    • ►  11/08 - 11/15 (4)
    • ►  11/01 - 11/08 (7)
    • ►  10/25 - 11/01 (1)
    • ►  10/11 - 10/18 (1)
    • ►  10/04 - 10/11 (1)
    • ►  09/27 - 10/04 (7)
    • ►  09/20 - 09/27 (6)
    • ►  09/06 - 09/13 (5)
    • ►  08/30 - 09/06 (1)
    • ►  08/23 - 08/30 (7)
    • ►  08/16 - 08/23 (1)
    • ►  08/09 - 08/16 (3)
    • ►  08/02 - 08/09 (3)
    • ►  07/26 - 08/02 (2)
    • ►  07/19 - 07/26 (5)
    • ►  07/12 - 07/19 (2)
    • ►  07/05 - 07/12 (5)
    • ►  06/28 - 07/05 (3)
    • ►  06/21 - 06/28 (4)
    • ►  06/14 - 06/21 (5)
    • ►  06/07 - 06/14 (6)
    • ►  05/31 - 06/07 (4)
    • ►  05/24 - 05/31 (4)
    • ►  05/17 - 05/24 (3)
    • ►  05/10 - 05/17 (7)
    • ►  05/03 - 05/10 (1)
    • ►  04/26 - 05/03 (13)
    • ►  04/19 - 04/26 (5)
    • ►  04/12 - 04/19 (6)
    • ►  04/05 - 04/12 (3)
    • ►  03/29 - 04/05 (7)
    • ►  03/22 - 03/29 (3)
    • ►  03/15 - 03/22 (7)
    • ►  03/08 - 03/15 (3)
    • ►  03/01 - 03/08 (7)
    • ►  02/22 - 03/01 (7)
    • ►  02/15 - 02/22 (9)
    • ►  02/08 - 02/15 (4)
    • ►  02/01 - 02/08 (9)
    • ►  01/25 - 02/01 (9)
    • ►  01/18 - 01/25 (5)
    • ►  01/11 - 01/18 (9)
    • ►  01/04 - 01/11 (6)
  • ►  2014 (370)
    • ►  12/28 - 01/04 (10)
    • ►  12/21 - 12/28 (4)
    • ►  12/14 - 12/21 (5)
    • ►  12/07 - 12/14 (4)
    • ►  11/30 - 12/07 (4)
    • ►  11/23 - 11/30 (3)
    • ►  11/16 - 11/23 (4)
    • ►  11/09 - 11/16 (4)
    • ►  11/02 - 11/09 (1)
    • ►  10/26 - 11/02 (3)
    • ►  10/19 - 10/26 (2)
    • ►  10/12 - 10/19 (6)
    • ►  10/05 - 10/12 (5)
    • ►  09/28 - 10/05 (7)
    • ►  09/21 - 09/28 (7)
    • ►  09/14 - 09/21 (6)
    • ►  09/07 - 09/14 (5)
    • ►  08/31 - 09/07 (10)
    • ►  08/24 - 08/31 (3)
    • ►  08/17 - 08/24 (3)
    • ►  08/10 - 08/17 (3)
    • ►  08/03 - 08/10 (6)
    • ►  07/27 - 08/03 (6)
    • ►  07/20 - 07/27 (3)
    • ►  07/13 - 07/20 (11)
    • ►  07/06 - 07/13 (5)
    • ►  06/29 - 07/06 (9)
    • ►  06/22 - 06/29 (6)
    • ►  06/15 - 06/22 (9)
    • ►  06/08 - 06/15 (10)
    • ►  06/01 - 06/08 (10)
    • ►  05/25 - 06/01 (10)
    • ►  05/18 - 05/25 (11)
    • ►  05/11 - 05/18 (8)
    • ►  05/04 - 05/11 (5)
    • ►  04/27 - 05/04 (9)
    • ►  04/20 - 04/27 (8)
    • ►  04/13 - 04/20 (10)
    • ►  04/06 - 04/13 (7)
    • ►  03/30 - 04/06 (6)
    • ►  03/23 - 03/30 (9)
    • ►  03/16 - 03/23 (14)
    • ►  03/09 - 03/16 (6)
    • ►  03/02 - 03/09 (10)
    • ►  02/23 - 03/02 (6)
    • ►  02/16 - 02/23 (8)
    • ►  02/09 - 02/16 (11)
    • ►  02/02 - 02/09 (14)
    • ►  01/26 - 02/02 (17)
    • ►  01/19 - 01/26 (8)
    • ►  01/12 - 01/19 (9)
    • ►  01/05 - 01/12 (10)
  • ►  2013 (537)
    • ►  12/29 - 01/05 (13)
    • ►  12/22 - 12/29 (11)
    • ►  12/15 - 12/22 (8)
    • ►  12/08 - 12/15 (13)
    • ►  12/01 - 12/08 (19)
    • ►  11/24 - 12/01 (5)
    • ►  11/17 - 11/24 (11)
    • ►  11/10 - 11/17 (15)
    • ►  11/03 - 11/10 (27)
    • ►  10/27 - 11/03 (14)
    • ►  10/20 - 10/27 (14)
    • ►  10/13 - 10/20 (15)
    • ►  10/06 - 10/13 (27)
    • ►  09/29 - 10/06 (9)
    • ►  09/22 - 09/29 (12)
    • ►  09/15 - 09/22 (13)
    • ►  09/08 - 09/15 (19)
    • ►  09/01 - 09/08 (22)
    • ►  08/25 - 09/01 (14)
    • ►  08/18 - 08/25 (25)
    • ►  08/11 - 08/18 (15)
    • ►  08/04 - 08/11 (24)
    • ►  07/28 - 08/04 (12)
    • ►  07/21 - 07/28 (12)
    • ►  07/14 - 07/21 (16)
    • ►  07/07 - 07/14 (25)
    • ►  06/30 - 07/07 (26)
    • ►  06/23 - 06/30 (18)
    • ►  06/16 - 06/23 (9)
    • ►  06/09 - 06/16 (16)
    • ►  06/02 - 06/09 (14)
    • ►  05/26 - 06/02 (6)
    • ►  05/19 - 05/26 (14)
    • ►  05/12 - 05/19 (12)
    • ►  05/05 - 05/12 (6)
    • ►  04/28 - 05/05 (2)
    • ►  04/21 - 04/28 (4)

Tag

  • ha (1)
  • lix (1)
  • PA (1)
Designed by Faustine Ruta 2013. Picture Window theme. Powered by Blogger.