Wanakamati wakiwa katika mkakati wa maandalizi.
Moja ya kwaya kutoka kanisa la kilutheri Kagoma Muleba.
Eneo la Ibada.
Bw na Bibi Naftari Felix mmiliki wa Hotel wakiwa katika ibada ya ufunguzi wa hotel yao.
Kwaya ikiimba wakati wa ibada.
Familia ya Bw Naftari wakati wa sadaka.
Bw Naftari akitoa shukrani ,machozi ya furaha yalimtoka.
Wadada wanaotoa hudu
Endelea kufutilia ili uweze kujua kilichojiri kwenye sherehe ya ufunguzi.
No comments:
Post a Comment