Diwani wa kata ya Rwamishenye Dismas Rutagwerela akiongea na mkurugenzi wa vision Redio
Pia baadhi ya wananchi walifika kusikiliza baraza la madiwani, ambalo halikufanyika
Jitihada za kuonana na mkurugenzi ziligonga ukuta,baada ya kukuta foleni ya watu wengi waliohitaji kuingia ofisini kwake,na simu yake ilikuwa haipatikani
Diwani Mukono akiwa na Diwani Ibrahimu Maburuki baada ya kikao kushindwa kufanyika
Diwani Murungi kichwabuta akitoka kwenye ofisi ya mkurugenzi
No comments:
Post a Comment