Wachezaji wa Bilele wakishangilia baada ya kufunga bao dakika ya 39 kupitia kwa mchezaji wao matata Fikiri David
Wachezaji wa Nshambya Hoi!!
Wadau!! wakifurahia baada ya timu yao kushinda jioni hii kwenye uwanja wa Kaitaba kwenye kipute cha Kagasheki Cup!
Wadau wakifatilia kwa karibu soka na hapa ni wenye timu ya Bilele wakitupia macho
Hapa wakipongezana na kuamshana kuanza kipindi cha pili
No comments:
Post a Comment