Shabiki nguri mwana mama wa kashai neema akiwa makini kuangalia mechi
dah mchezo mgumu huu
wa mama wanapenda sana soka
kagasheki cup noma, watu nyomi
police baada ya mechi wakiangalia usalama
tujipange, ligi ngumu haitabiriki
umakini mchezoni
willy kiroyera walidhamini mechi itangazwe live redio kasibante
vituko uwanjani, mashabiki wa kashai
kazi ipo ,umeona mechi ilivyokuwa ngumu
dah hii si mchezo
mwanalibeneke wa bukobasports akiwa na mkewe baada ya mechi
kumbe hii kagasheki cup si mchezo,watu wanajaa hivi
mkurugenzi wa manispaa akihojiwa na mtangazaji wa redio kasibante
mkurugenzi wa manispaa akitoka uwanjani
mechi imekwisha nashuka
kwa jinsi uwanja ulivyojaa ilibidi watu wapande magari kwa juu waweze kuona mechi
polisi hawachezi mbali
barabara itokayo kaitaba kuelekea soko kuu imefurika
Kikosi kilichoanza cha Kashai
Mashabiki leo wameingia buku tatu kidogo!!
No comments:
Post a Comment