Mitaa hii watu huja kutengeneza pikipiki na kunywa kahawa
Dada Lucy akiwa saloon,barabara ya Arusha
Duka la spea za baiskeli kwa ngugu Miraji Hussein
Ndugu Ramadhani anauza vifaa vya umeme
Kitambo dada huyu anafanya biashara barabara hii ya Arusha
Barabara ya Arusha hiko busy muda wote
Vibanda vya wauza kuku,hapa ndio soko kuu kwa bukoba ukihitaji kuku
Kitambo nyumba ya wageni ipo mitaa hii,wengi wenu mmepita hapa
Dada Jovensi ni mmoja wa waanzilishi wa maduka katika barabara ya Arusha
Amir Hamza ni wakala wa kusambaza sukari kutoka katika kiwanda cha sukari kagera,huduma hii imechangia kwa kiasi kikubwa barabara ya Arusha kuwa na msongamano wa magari wakati wakipakia sukari
ndugu Mwinyi akiwa kazini
Miaka ya 2011 katika barabara ya Arusha lilikuwepo duka la ndugu Abasi tu, leo yapo kibao
Maduka ya nguo za kike na kiume yapo mengi sana maeneo hayo
Nilikutana na huyu dada barabara ya Arusha nikiendelea na kazi, mtaa huko busy na magari saa zote
maeneo yote haya ya maduka,saloo yalikuwa makazi ya watu barabara ya Arusha
Manywele design duka jipya ,mwanzoni ilikuwa nyumba ya kuishi sasa ni duka
Takribani yapo maduka matano kwenye kwenye jengo hili, ni nyumba mama nyamwihura ilikuwa nyumba ya kuishi sasa ni maduka, barabara ya Arusha
No comments:
Post a Comment