JAMCO BLOG BUKOBA

Tuesday, 13 August 2013

CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Bw Avelin Mushi amemaliza Press Conf hivi punde na kufafanua kuwa kikao cha Halmasahuri Kuu ya mkoa wa Kagera imemaliza kikao chake hivi punde na kuamua madiwani 8 wa Manispaa ya Bukoba kufukuzwa katika chama na kufutiwa nyadhifa za udiwani kutoka na mgogoro uliokuwa ukiendelea.

Waliofukuzwa ni:

1. Richard Gaspar (Miembeni )

2. Murungi Kichwabuta (viti maalum)

3. Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe)

4. Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya (Kashai)

5. Deusdedit Mutakyahwa (Nyanga)

6. Robert Katunzi (Hamugembe)

7. Samwel Ruhangisa (Kitendaguro) na

8. Dauda Kalumuna (Ijuganyondo).

Katibu huyo ameongeza kuwa madiwani hao wanaweza kukata rufaa kwa ngazi za juu za chama wakiona hawakutendea haki na kuwa ngazi ya mkoa ina mamlaka ya kufanya hivyo kwa madiwani wa ngazi hizo.

Aidha amesema kwa Bw Yusuph ngaiza ambaye ni mwenyekiti wa CCM bukoba,nafasi yake hiyo inasubiriwa ngazi za juu ambazo ndizo zenye mamlaka juu yake(kwa cheo hicho)

Manispaa ya Bukoba ina kata 14 na kati ya hizo kata 4 zinaongozwa na CDM(2) na CUF(2) hivyo kwa Bukoba mjini CCM imebakiza madiwani 3 TU wa kuchaguliwa .kama ifuatavyo
1.Kashai-Amefukuzwa
2. Miembeni-Amefukuzwa
3.Miembe-Amefukuzwa
4.Nyanga-Amefukuzwa
5.Hamugembe-Amefukuzwa
6.Kitendaguro-Amefukuzwa
7.Ijuganyondo-Amefukuzwa
8.(1)Kagondo-Amebaki (CCM) (Meya Amani)
9.(2)Nshambya-Amebaki(CCM)
10.(3)Kahororo-Amebaki(CCM)
11.Bilele-Amebaki(CUF)
12.Kibeta-Amebaki(CHADEMA)
13.Bakoba-Amebaki(CUF)
14.Rwamishenye-Amebaki(CHADEMA)













                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                         
                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                 

Posted by jamco blog at 21:42
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

1 comment:

  1. Unknown14 August 2013 at 01:57

    Hatua iliyochukuliwa ni nzuri katika kuhakikisha amani inatawala kwa mstakabali wa maendeleo ya manispaa yetu. Lakini mikakati gani imewekwa ya kichama kuhakikisha kuwa uwakilishi wa wananchi unaendelea? Hizo kata ambazo madiwani wamesimamishwa uwakilishi na utetezi wao katika balaza la madiwani ambapo mambo ya msingi yanayohusu kata husika yataelezwa na nani? Na je, hatua iliyochukuliwa wananchi wa kata husika wameelezwa kinaganaga kuhusiana na swalahili?
    Ni vyema maamuzi kama haya yanaenda kufanyika 'plan B' inaelezwa wazi!
    Ifahamike swala la maendeleo si la kichama na halifungamani na itikadi za kichama bali ni uzalendo na moyo wa kulitumikia taifa kwa ustawi wa jamii zetu.

    ReplyDelete
    Replies
      Reply
Add comment
Load more...

Newer Post Older Post Home
View mobile version
Subscribe to: Post Comments (Atom)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

About Me

jamco blog
View my complete profile

BLOG MBALIMBALI

  • MICHUZI BLOG
    YAS FIBER KUWEKEZA SHILINGI BILIONI 300 KUPANUA MKONGA WA MAWASILIANO ZANZIBAR KWA KUSHIRIKIANA NA ZICTIA - Na Mwandishi Wetu Zanzibar YAS Fiber Tanzania itawekeza takriban shilingi bilioni 300 kwa kipindi cha miaka 20 ili kupanua huduma za intaneti yenye kasi...
    11 hours ago
  • Bongo5
    Tucta yawataka wanahabari kujiunga na vyama vya wafanyakazi kulinda maslahi yao - RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amewataka wanahabari nchini kujiunga na vyama vya wafanyakazi ili kuimaris...
    3 weeks ago
  • JESTINA GEORGE
    Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera - Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani Kagera k...
    6 years ago
  • FULL SHANGWE
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync - How many times have you wanted to plug your iPad into your computer to charge but you didn’t want to deal with the interruption that syncing causes to wh...
    10 years ago
  • JANE JOHN
    DISCUSSION ON EU-TANZANIA TRANSFER AGREEMENT WHICH ALLOWS TO TRIAL PIRATES CAPTURED BY EUROPEAN NAVAL FORCES IN TANZANIA COURTS - [image: 1] *From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Cha...
    12 years ago
  • This is Diamond
    -
  • Shaffih Dauda in Sports.
    -
  • WWW.BUKOBASPORTS.COM
    -

Popular Posts

  • MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU OMULANGIRA RICHARD KAMI LWEKAMWA YAFANYIKA NYUMBANI KWAKE MARUKU BUKOBA
  • BW JULIUS RUGEMALIRA AWATAKA UMOJA NA MSHIKAMANO WANANCHI WA WILAYA YA MISSENYE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM
  • CCM BUKOBA MJINI YATANGAZA MATOKEO YA KURA YA MAONI UBUNGE.
  • MUFTI WA TANZANIA ATEMBELEA KABURI LA ALHAJI JAFFARI SAKIBU BWANIKA NA KUSHIRIKI DUA MAALUMU KAMACHUMU BUKOBA.
  • MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU WAZEE DUNIANI NA WAZEE WA KOROGWE MKOA WA TANGA.
  • NMB FAMILY DAY KAGERA,WAFANYAKAZI WAVINJALI NA FAMILIA ZAO UFUKWE WA KABUARA MARUKU.
  • MWILI WA MAREHEMU JOSEPH MSHUMBUSI WAWASILI DAR,KUZIKWA NYUMBANI KWAKE BUKOBA KANAZI 11-9-2015 IJUMAA.
  • WALIMU WAWILI NA WAKULIMA WAWILI WAIBUKA WASHINDI WA PROMOSHENI YA AIRTEL YATOSHA
  • HAFRA FUPI YA KUMUAPISHA MKUU WA WILAYA YA MISSENYE,KUKARIBISHA WAPYA NA KUAGA WANAOONDOKA.
  • MBOWE, JOHN MNYIKA, TUNDU LISSU, WAPOKELEWA NA NYOMI YA WATU BUKOBA...WAWATAKA WATANZANIA KUJADILI RASIMU YA KATIBA NA KUTOA MAONI VYEMA

WANAOTEMBELEA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Blog Archive

Search This Blog

faustine

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Contact

Tag

  • ha (1)
  • lix (1)
  • PA (1)

BLOGROLL

Flag Counter

Sponsors

Blogroll

Blog Archive

  • ►  2019 (9)
    • ►  07/14 - 07/21 (1)
    • ►  07/07 - 07/14 (2)
    • ►  06/23 - 06/30 (2)
    • ►  06/09 - 06/16 (2)
    • ►  05/26 - 06/02 (2)
  • ►  2018 (28)
    • ►  10/07 - 10/14 (2)
    • ►  08/05 - 08/12 (1)
    • ►  07/08 - 07/15 (1)
    • ►  07/01 - 07/08 (1)
    • ►  06/24 - 07/01 (3)
    • ►  06/17 - 06/24 (1)
    • ►  06/03 - 06/10 (2)
    • ►  05/13 - 05/20 (1)
    • ►  03/11 - 03/18 (1)
    • ►  02/25 - 03/04 (8)
    • ►  01/28 - 02/04 (4)
    • ►  01/14 - 01/21 (2)
    • ►  01/07 - 01/14 (1)
  • ►  2017 (90)
    • ►  12/31 - 01/07 (6)
    • ►  12/24 - 12/31 (1)
    • ►  12/17 - 12/24 (9)
    • ►  12/10 - 12/17 (10)
    • ►  12/03 - 12/10 (1)
    • ►  11/05 - 11/12 (3)
    • ►  10/29 - 11/05 (1)
    • ►  10/22 - 10/29 (1)
    • ►  10/08 - 10/15 (6)
    • ►  09/24 - 10/01 (3)
    • ►  09/17 - 09/24 (1)
    • ►  08/20 - 08/27 (3)
    • ►  08/06 - 08/13 (1)
    • ►  07/30 - 08/06 (1)
    • ►  07/23 - 07/30 (3)
    • ►  07/09 - 07/16 (9)
    • ►  06/04 - 06/11 (2)
    • ►  05/14 - 05/21 (2)
    • ►  04/09 - 04/16 (3)
    • ►  03/26 - 04/02 (5)
    • ►  03/19 - 03/26 (1)
    • ►  03/12 - 03/19 (2)
    • ►  02/19 - 02/26 (1)
    • ►  02/12 - 02/19 (2)
    • ►  02/05 - 02/12 (1)
    • ►  01/22 - 01/29 (2)
    • ►  01/15 - 01/22 (5)
    • ►  01/08 - 01/15 (3)
    • ►  01/01 - 01/08 (2)
  • ►  2016 (128)
    • ►  12/11 - 12/18 (2)
    • ►  12/04 - 12/11 (3)
    • ►  11/27 - 12/04 (1)
    • ►  11/20 - 11/27 (1)
    • ►  11/06 - 11/13 (1)
    • ►  10/30 - 11/06 (3)
    • ►  10/23 - 10/30 (2)
    • ►  10/16 - 10/23 (2)
    • ►  10/09 - 10/16 (3)
    • ►  10/02 - 10/09 (4)
    • ►  09/25 - 10/02 (3)
    • ►  09/18 - 09/25 (3)
    • ►  09/11 - 09/18 (2)
    • ►  09/04 - 09/11 (3)
    • ►  08/28 - 09/04 (2)
    • ►  08/14 - 08/21 (2)
    • ►  07/31 - 08/07 (3)
    • ►  07/24 - 07/31 (2)
    • ►  07/17 - 07/24 (2)
    • ►  07/10 - 07/17 (2)
    • ►  07/03 - 07/10 (6)
    • ►  06/26 - 07/03 (5)
    • ►  06/19 - 06/26 (7)
    • ►  06/05 - 06/12 (2)
    • ►  05/29 - 06/05 (8)
    • ►  05/22 - 05/29 (2)
    • ►  05/15 - 05/22 (2)
    • ►  05/08 - 05/15 (4)
    • ►  04/24 - 05/01 (6)
    • ►  04/17 - 04/24 (1)
    • ►  04/10 - 04/17 (1)
    • ►  04/03 - 04/10 (1)
    • ►  03/27 - 04/03 (1)
    • ►  03/20 - 03/27 (2)
    • ►  03/13 - 03/20 (11)
    • ►  03/06 - 03/13 (1)
    • ►  02/21 - 02/28 (2)
    • ►  02/14 - 02/21 (6)
    • ►  02/07 - 02/14 (2)
    • ►  01/31 - 02/07 (4)
    • ►  01/24 - 01/31 (2)
    • ►  01/17 - 01/24 (1)
    • ►  01/10 - 01/17 (4)
    • ►  01/03 - 01/10 (1)
  • ►  2015 (226)
    • ►  12/27 - 01/03 (1)
    • ►  12/20 - 12/27 (2)
    • ►  12/13 - 12/20 (2)
    • ►  12/06 - 12/13 (4)
    • ►  11/29 - 12/06 (1)
    • ►  11/22 - 11/29 (3)
    • ►  11/15 - 11/22 (3)
    • ►  11/08 - 11/15 (4)
    • ►  11/01 - 11/08 (7)
    • ►  10/25 - 11/01 (1)
    • ►  10/11 - 10/18 (1)
    • ►  10/04 - 10/11 (1)
    • ►  09/27 - 10/04 (7)
    • ►  09/20 - 09/27 (6)
    • ►  09/06 - 09/13 (5)
    • ►  08/30 - 09/06 (1)
    • ►  08/23 - 08/30 (7)
    • ►  08/16 - 08/23 (1)
    • ►  08/09 - 08/16 (3)
    • ►  08/02 - 08/09 (3)
    • ►  07/26 - 08/02 (2)
    • ►  07/19 - 07/26 (5)
    • ►  07/12 - 07/19 (2)
    • ►  07/05 - 07/12 (5)
    • ►  06/28 - 07/05 (3)
    • ►  06/21 - 06/28 (4)
    • ►  06/14 - 06/21 (5)
    • ►  06/07 - 06/14 (6)
    • ►  05/31 - 06/07 (4)
    • ►  05/24 - 05/31 (4)
    • ►  05/17 - 05/24 (3)
    • ►  05/10 - 05/17 (7)
    • ►  05/03 - 05/10 (1)
    • ►  04/26 - 05/03 (13)
    • ►  04/19 - 04/26 (5)
    • ►  04/12 - 04/19 (6)
    • ►  04/05 - 04/12 (3)
    • ►  03/29 - 04/05 (7)
    • ►  03/22 - 03/29 (3)
    • ►  03/15 - 03/22 (7)
    • ►  03/08 - 03/15 (3)
    • ►  03/01 - 03/08 (7)
    • ►  02/22 - 03/01 (7)
    • ►  02/15 - 02/22 (9)
    • ►  02/08 - 02/15 (4)
    • ►  02/01 - 02/08 (9)
    • ►  01/25 - 02/01 (9)
    • ►  01/18 - 01/25 (5)
    • ►  01/11 - 01/18 (9)
    • ►  01/04 - 01/11 (6)
  • ►  2014 (370)
    • ►  12/28 - 01/04 (10)
    • ►  12/21 - 12/28 (4)
    • ►  12/14 - 12/21 (5)
    • ►  12/07 - 12/14 (4)
    • ►  11/30 - 12/07 (4)
    • ►  11/23 - 11/30 (3)
    • ►  11/16 - 11/23 (4)
    • ►  11/09 - 11/16 (4)
    • ►  11/02 - 11/09 (1)
    • ►  10/26 - 11/02 (3)
    • ►  10/19 - 10/26 (2)
    • ►  10/12 - 10/19 (6)
    • ►  10/05 - 10/12 (5)
    • ►  09/28 - 10/05 (7)
    • ►  09/21 - 09/28 (7)
    • ►  09/14 - 09/21 (6)
    • ►  09/07 - 09/14 (5)
    • ►  08/31 - 09/07 (10)
    • ►  08/24 - 08/31 (3)
    • ►  08/17 - 08/24 (3)
    • ►  08/10 - 08/17 (3)
    • ►  08/03 - 08/10 (6)
    • ►  07/27 - 08/03 (6)
    • ►  07/20 - 07/27 (3)
    • ►  07/13 - 07/20 (11)
    • ►  07/06 - 07/13 (5)
    • ►  06/29 - 07/06 (9)
    • ►  06/22 - 06/29 (6)
    • ►  06/15 - 06/22 (9)
    • ►  06/08 - 06/15 (10)
    • ►  06/01 - 06/08 (10)
    • ►  05/25 - 06/01 (10)
    • ►  05/18 - 05/25 (11)
    • ►  05/11 - 05/18 (8)
    • ►  05/04 - 05/11 (5)
    • ►  04/27 - 05/04 (9)
    • ►  04/20 - 04/27 (8)
    • ►  04/13 - 04/20 (10)
    • ►  04/06 - 04/13 (7)
    • ►  03/30 - 04/06 (6)
    • ►  03/23 - 03/30 (9)
    • ►  03/16 - 03/23 (14)
    • ►  03/09 - 03/16 (6)
    • ►  03/02 - 03/09 (10)
    • ►  02/23 - 03/02 (6)
    • ►  02/16 - 02/23 (8)
    • ►  02/09 - 02/16 (11)
    • ►  02/02 - 02/09 (14)
    • ►  01/26 - 02/02 (17)
    • ►  01/19 - 01/26 (8)
    • ►  01/12 - 01/19 (9)
    • ►  01/05 - 01/12 (10)
  • ▼  2013 (537)
    • ►  12/29 - 01/05 (13)
    • ►  12/22 - 12/29 (11)
    • ►  12/15 - 12/22 (8)
    • ►  12/08 - 12/15 (13)
    • ►  12/01 - 12/08 (19)
    • ►  11/24 - 12/01 (5)
    • ►  11/17 - 11/24 (11)
    • ►  11/10 - 11/17 (15)
    • ►  11/03 - 11/10 (27)
    • ►  10/27 - 11/03 (14)
    • ►  10/20 - 10/27 (14)
    • ►  10/13 - 10/20 (15)
    • ►  10/06 - 10/13 (27)
    • ►  09/29 - 10/06 (9)
    • ►  09/22 - 09/29 (12)
    • ►  09/15 - 09/22 (13)
    • ►  09/08 - 09/15 (19)
    • ►  09/01 - 09/08 (22)
    • ►  08/25 - 09/01 (14)
    • ►  08/18 - 08/25 (25)
    • ▼  08/11 - 08/18 (15)
      • FOOLISH AGE YA LULU KUZINDULIWA MWISHO WA MWEZI HU...
      • YANGA YATWAA NGAO YA HISANI
      • KAGASHEKI CUP 2013: KITENDAGURO 3 vs KASHAI FC 1, ...
      • AKAMATWA NA MENO YA TEMBO YENYE THAMANI YA MILIONI...
      • MWAKYEMBE AWATAJA WAHUSIKA WA DAWA ZA KULEVYA
      • RASTA ADAKWA NA DAWA ZA KULEVYA UWANJA WA NDEGE DAR
      • APEWA Tshs 120.000 KUTOROSHA TWIGA UWANJA WA KIA
      • CCM MKOA KAGERA NI MAJANGA.... MWENYEKITI WA CCM M...
      • POLISI WAKAMATA MAGUNIA 405 YA BANGI ARUMERU
      • MKURUGENZI WA MASOKO WA KAMPUNI YA BIA TANZANIA (T...
      • KAGASHEKI CUP 2013: KASHAI FC 1 vs RWAMISHENYE FC ...
      • KATIBU MWENEZI TAIFA NAPE MNAWIE AMETANGAZA MADIWA...
      • CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8
      • KAGASHEKI CUP 2013: NUSU FAINALI .....LIVE MATCH: ...
      • KAGASHEKI CUP -KASHAI ATINGA NUSU FAINALI AMPA KIC...
    • ►  08/04 - 08/11 (24)
    • ►  07/28 - 08/04 (12)
    • ►  07/21 - 07/28 (12)
    • ►  07/14 - 07/21 (16)
    • ►  07/07 - 07/14 (25)
    • ►  06/30 - 07/07 (26)
    • ►  06/23 - 06/30 (18)
    • ►  06/16 - 06/23 (9)
    • ►  06/09 - 06/16 (16)
    • ►  06/02 - 06/09 (14)
    • ►  05/26 - 06/02 (6)
    • ►  05/19 - 05/26 (14)
    • ►  05/12 - 05/19 (12)
    • ►  05/05 - 05/12 (6)
    • ►  04/28 - 05/05 (2)
    • ►  04/21 - 04/28 (4)

Tag

  • ha (1)
  • lix (1)
  • PA (1)
Designed by Faustine Ruta 2013. Picture Window theme. Powered by Blogger.